HAYA HAPA MATUKIO YA UTATA ZAIDI KUWAH KUTOKEA TANZANIA

 Haya ni matukio muhim yaliyotokea na kutikisa nchi


1962: Mwalimu Nyerere kujiuzuru uwaziri mkuu wakati ameijenga Tanganyika kwa heshima, wengi walishangaa kumbe alikuwa na malengo yake,


1962: kilianzishwa chuo kikuu cha kwanza UDSM pale Lumumba kabla ya kuhamia kilipo sasa hivi,


1963: Jaribio la kwanza la Kumpindua mwalimu Nyerere , kwa bahati nzuri halikufanikiwa, na Nyerere akaomba usaidizi wa waingereza,


1964 : Mapinduzi makubwa ya mfumo ndani ya jeshi , mwalimu karibia alifukuza jeshi zima na recruitment ikaanza upya chini ya jeshi la waingereza,


1964 : Kubadili jina la nchi kutoka Tanganyika na kuwa Tanzania kutokana na muungano na Zanzibar


1965 : Uanzishwaji wa Benki kuu ya Tanzania, baada ya EACB kuvunjwa,


1967: Azimio la arusha lilitikisa nchi na kuja na mpango wa utaifishaji,


1971: Tanzania iliingia mgogoro kwa mara ya kwanza na Uganda, lakin mwalimu Nyerere akajiandaa kwenda urusi kuomba silaha baada ya kugundua jamaa aliyekuja ni upuuzi, Amini mwaka huo alitikisa kiberiti kwanza kwa kuichapa kyaka,


1972 : Waziri Fundikira alitandikwa viboko na kufungwa jela kwa kosa la rushwa,


1977: Kujiondoa katika EAC

1978: Vita na Uganda ambayo iliacha matatizo makubwa sana,


1980: Mwalimu Nyerere aliatoa pendekezo la kung'atuka , watanzania wa karibu yake wakakataa na kusema mwalimu itaonekana unayakimbia matatizo haya, akahairisha,


1982: Ndege ya Air Tanzania ilitekwa na kupelekwa uingereza, na vijana machachari wa Tanzania,


1983: Kuwekwa kizuizini kwa aliyekuwa rais wa Zanzibar na makamu wa rais wa JMT kwa kipindi hicho Aboud Jumbe, kwa kutaka kuiuza Zanzibar uarabuni,


1984: Ajari ya gari na kumuondoa Moringe Sokoine, waziri mkuu wa Tanzania ambaye alitisha sana,


1985: Mwalimu Nyerere aling'atuka na kumuachia mzee Mwinyi,


1992: Uanzishwaji wa Vyama vingi vya siasa,


1994 : Kujiuzuru kwa Bwana Augustine Lyatonga Mrema, ilitikisa sana, na kuleta tahamaki kwa nchi,


1995: Uchaguzi wa Vyama vingi kwa mara ya kwanza Tanzania,


1996: Ajari ya Mv Bukoba iliua maelf ya watu


1999: Kifo cha mwanzilishi wa Taifa ili Mwalimu Nyerere huko London,


2002 : Ajali ya Treni Dodoma na kuua namia ya watu,

Comments

Popular posts from this blog

Mwaka 1989 Kundi Hatari la Kihalifu la Medellin Cartel la Colombia Linalomilikiwa na Pablo Escobar Lililipua Ndege na Kuuwa Abiria Wote 107, Lengo Lao Lilikuwa ni Kumuua Mgombeaji Urais wa Nchi Hiyo Álvaro Gómez

ALIKATWA MKONO, LAKINI HAIKUMZUIA KUCHEZA MPIRA KWA MAFANIKIO MAKUBWA!

Anaitwa Chris McCandless Raia wa California US. Mwaka 1992 Akiwa na Miaka 24 Aliamua Kuingia Porini, Mbali ili Akaishi Maisha ya Asili, Maisha Kama ya Wanyama kwa Miezi 3 Kisha Arudi Nyumbani. Miezi Mitatu Baadaye Mwili Wake Ulipatikana Umeoza Porini. Inaelezwa Alikufa kwa Njaa.